Thursday, April 28, 2016

ANUANI ZA UWAWASE GROUP

ANUANI ZA UWAWASE GROUP




a.       Jina la umoja litakuwa:Umoja waWamiliki na Wazalishaji Sembe/Dona(UWAWASE GROUP).
b.      Anuani ya umoja:S.L.P 10239Dar es salaam.
c.       Tarehe ya kuandikishwa:  11/03/2014
d.      Namba ya kuandikishwa Brela:  280324
e.       Barua pepe: uwawasegroup@gmail.comna  blog : uwawase.blogspot.com
f.       Idadi ya wanaumoja waliotuma maombi:228
g.      Eneo la shughuli za umoja: Manzese/Tandale Kinondoni Dar es Salaam.
h.      Makao makuu ya umoja yatakuwa: Manzese Wilaya ya Kinondoni.

i.        Wahusika wakuu wa umoja huo ni: wamiliki wa mashine za kuzalishaSembe/Dona na wazalishaji Sembe/Dona wa mkoa wa Dar es Salaam.
Share:

0 comments:

Post a Comment