WAJIBU WA MWANAUMOJA
WA UWAWASE GROUP
Mwanaumoja
atawajibika kutimiza wajibu wakekulingana na katiba na makubaliano yaliofikiwa
na umoja wetu kwa ujumla, kupitia mkutano mkuu wetu kufanya yafuatayo:-
1.
Kuhudhuria mikutano yote ya umoja wetu.
2. Kulipa
ada kila mwanzo wa mwezi kwa wakati.
3. Kulipa
michango yote ile ya dharura na ile ya lazima kama msiba.
4. Kulinda
mali zote za umoja.
5. Kufanya
kazi za umoja kwa kujitolea.
6. Kushiriki
kwenye shughuli zote za wanaumoja.
7.
Kutokusambaza taarifa zisizo kuwa zakweli zihusuzo
umoja wetu.
8. Kushauri
au wetu, kutoa maoni juu ya ustawi wa umoja.






0 comments:
Post a Comment