Monday, May 2, 2016

WAJIBU WA MWANAUMOJA WA UWAWASE GROUP

WAJIBU WA MWANAUMOJA WA UWAWASE GROUP


Mwanaumoja atawajibika kutimiza wajibu wakekulingana na katiba na makubaliano yaliofikiwa na umoja wetu kwa ujumla, kupitia mkutano mkuu wetu kufanya yafuatayo:-
1.    Kuhudhuria mikutano yote ya umoja wetu.
2.  Kulipa ada kila mwanzo wa mwezi kwa wakati.
3.  Kulipa michango yote ile ya dharura na ile ya lazima kama msiba.
4.  Kulinda mali zote za umoja.
5.  Kufanya kazi za umoja kwa kujitolea.
6.  Kushiriki kwenye shughuli zote za wanaumoja.
7.   Kutokusambaza taarifa zisizo kuwa zakweli zihusuzo umoja wetu.

8.  Kushauri au wetu, kutoa maoni juu ya ustawi wa umoja.
Share:

0 comments:

Post a Comment