UTARATIBU WA VIKAO VYA UMOJA WA UWAWASE GROUP
1.
Mwana Umoja ambae atashindwa
kuhudhuria mikutano mara nne atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye umoja na kama
kuna haki yoyote kwenye umoja atakuwa ameipoteza.
2. Mwana umoja atahudhuria mkutano kila baada ya miezi mitatu.
3. Wajumbe wa kamati ya utendaji watakutana kila inapo bidi kufanya
hivyo.
4. Mkutano mkuu wa umoja utafanyika mara moja kwa mwaka.






0 comments:
Post a Comment