Monday, May 2, 2016

UTARATIBU WA VIKAO VYA UMOJA WA UWAWASE GROUP

UTARATIBU WA VIKAO VYA UMOJA  WA UWAWASE GROUP


1.    Mwana Umoja ambae atashindwa kuhudhuria mikutano mara nne atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye umoja na kama kuna haki yoyote kwenye umoja atakuwa ameipoteza.

2.  Mwana umoja atahudhuria mkutano kila baada ya miezi mitatu.

3.  Wajumbe wa kamati ya utendaji watakutana kila inapo bidi kufanya hivyo.

4.  Mkutano mkuu wa umoja utafanyika mara moja kwa mwaka.


Share:

0 comments:

Post a Comment