IFAHAMU UWAWASE GROUP
Umoja
wa wamiliki mashine za sembe, nawazalishaji wa sembe kwakifupi (UWAWASE GROUP)niumoja
ulioanzishwa mnamo tarehe11/03/2014.
Mwanzo
wa (UWAWASE GROUP) ni wajasiriamali wadogowadogo wenye viwanda yaani mashine za
kuzalisha sembe/dona na wale wanaozalisha na kusambaza ndani ya Dar es salaam
na nje ya Dar es salaam.
Wajasiriamali
kwakuangalia mbali zaidi tumeona ni vyema tuwe na chombo chetukitakacho tuwezesha
tuwe na kauli moja katika kujinasua na matatizo yanayo tukabili katika
kuendesha shughuli zetu, bila kuingiliwa na taasisi nyingine ambayo haina
dhamana na Umoja wetu.
Kwaujumla
Umoja huu umehusisha wajasiriamali kutoka Manzese/Tandale na Dar es salaam kwa
ujumla.
Umoja
wetu umetokea kuwavutia wanaumoja wengi ambao wanashughulika na usindikaji wa mahindi
ya sembe na dona maeneo yote ya Dar es salaam.
Umoja
wetu una katiba ambayo kila mwanaumoja anatakiwa kuiheshimu, kuifuata na
kuisimamia maana ndio muongozo wa Umoja wetu.
Katiba
ya umoja wetu imetungwa nakupitishwa na wajumbe wote wa UWAWASE GROUP.
Extract from Register
Business Name No280324 Date of Registration
11-Mar-14
Name of Business: UWAWASE GROUP
Certificate of Registration
The Business Names(Registration) Act (Cap 213)
I hereby certify that UWAWASE GROUP







0 comments:
Post a Comment